Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 19:11

Ufunuo 19:11 BHN

Kisha, nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpandafarasi wake aliitwa “Mwaminifu” na “Kweli”. Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki.