Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 82:1-3

Zaburi 82:1-3 BHN

Mungu anasimamia baraza lake; anatoa hukumu katika kusanyiko la miungu: “Mpaka lini mtaendelea kuhukumu bila haki na kuwapendelea watu waovu? Wapeni wanyonge na yatima haki zao; tekelezeni haki za wanaoonewa na fukara.

Soma Zaburi 82