Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:75-77

Zaburi 119:75-77 BHN

Najua hukumu zako ni adili, ee Mwenyezi-Mungu, na kwamba umeniadhibu kwani wewe ni mwaminifu. Fadhili zako na zinipe faraja, kama ulivyoniahidi mimi mtumishi wako. Unionee huruma nipate kuishi, maana sheria yako ni furaha yangu.

Soma Zaburi 119