Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 103:11-12

Zaburi 103:11-12 BHN

Kama vile anga lilivyo juu mbali na dunia, ndivyo ulivyo mwingi wema wake kwa watu wanaomcha. Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo azitengavyo dhambi zetu mbali nasi.

Soma Zaburi 103