Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yona 1:6-7

Yona 1:6-7 BHN

Nahodha akamwendea, akamwambia, “Wawezaje wewe kulala? Amka umwombe Mungu wako; labda Mungu wako atatuhurumia, tusiangamie.” Mabaharia wakasemezana: “Tupige kura tujue balaa hili limetupata kwa kosa la nani.” Basi, wakapiga kura; kura ikamwangukia Yona.

Soma Yona 1