Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 7:33-34

Yohane 7:33-34 BHN

Yesu akasema, “Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma. Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”