Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 14:18-19

Yohane 14:18-19 BHN

“Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu. Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini nyinyi mtaniona; na kwa kuwa mimi ni hai, nanyi pia mtakuwa hai.