Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 5:8-9

Yeremia 5:8-9 BHN

Walikuwa kama farasi walioshiba wenye tamaa, kila mmoja akimtamani mke wa jirani yake. Je, nisiwaadhibu kwa mambo haya yote? Nisilipize kisasi juu ya taifa kama hili?

Soma Yeremia 5