Isaya 66:21-22 BHN
Pia nitawachagua baadhi yao kuwa makuhani na baadhi yao kuwa Walawi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.
“Kama vile mbingu mpya na dunia mpya nitakazoumba
zitakavyodumu milele kwa uwezo wangu,
ndivyo wazawa wako na jina lako litakavyodumu.