Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 4:9-10

Waefeso 4:9-10 BHN

Basi, inaposemwa: “Alipaa juu,” ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani. Basi, huyo aliyeshuka hapa duniani ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote apate kuujaza ulimwengu.