Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 4:27-28

Kumbukumbu la Sheria 4:27-28 BHN

Mwenyezi-Mungu atawatawanya kati ya mataifa mengine, na ni wachache wenu tu watakaosalia huko ambako Mwenyezi-Mungu atawafukuzia. Huko mtaitumikia miungu ya miti na mawe ambayo imetengenezwa kwa mikono ya watu; na ambayo haiwezi kuona, haisikii, haili wala kunusa.