Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 6:1-2

Danieli 6:1-2 BHN

Mfalme Dario aliamua kuteua wakuu 120 kusimamia mambo ya utawala. Aliwateua pia wakuu watatu, Danieli akiwa mmojawapo, wawasimamie wale wakuu wengine na maslahi ya mfalme, asije akapata hasara.

Soma Danieli 6