Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 27:33-34

Matendo 27:33-34 BHN

Karibu na alfajiri, Paulo aliwahimiza wote wale chakula: “Kwa siku kumi na nne sasa mmekuwa katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote. Basi, ninawasihi mle chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi. Maana hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.”

Video ya Matendo 27:33-34