Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 27:31-32

Matendo 27:31-32 BHN

Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, “Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka.” Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Video ya Matendo 27:31-32