Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 10:40-41

Matendo 10:40-41 BHN

lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane, si kwa watu wote, ila kwa wale Mungu aliokwisha wachagua wawe mashahidi wake, yaani sisi tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.