Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

2 Wathesalonike 1:8-9

2 Wathesalonike 1:8-9 BHN

na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu. Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu,