Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samueli 15:26-27

1 Samueli 15:26-27 BHN

Samueli akamjibu: “Kamwe, siwezi kurudi pamoja nawe. Wewe umeikataa amri ya Mwenyezi-Mungu, naye amekukataa kuwa mfalme juu ya Israeli.” Samueli alipogeuka ili aende zake, Shauli akashika pindo la vazi lake, nalo likapasuka.