Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 3:10-11

1 Wafalme 3:10-11 BHN

Ombi hili la Solomoni lilimfurahisha Mwenyezi-Mungu, naye akamwambia, “Kwa kuwa umetoa ombi hili, na hukujiombea maisha marefu au mali, na wala hukuomba adui zako waangamizwe, bali umejiombea utambuzi wa kutoa hukumu au kutenda haki