Wafilipi 2:6-8
Wafilipi 2:6-8 TKU
Alikuwa sawa na Mungu katika namna zote, lakini hakufikiri kwamba kuwa sawa na Mungu kilikuwa kitu cha manufaa kwake. Badala yake, aliacha kila kitu, hata sehemu yake pamoja na Mungu. Akakubali kuwa kama mtumwa, akiwa katika umbo la binadamu. Wakati wa maisha yake kama mtu, Alijinyenyekeza na akawa mtiifu kabisa kwa Mungu, hata jambo hilo liliposababisha kifo chake msalabani.