Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:33-35

Zaburi 119:33-35 SRUV

Ee BWANA, unifundishe njia ya amri zako, Nami nitaishika hadi mwisho. Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote. Uniendeshe katika mapito ya amri zako, Kwa maana nimependezwa nayo.

Soma Zaburi 119