Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mambo ya Walawi 19:19

Mambo ya Walawi 19:19 SRUV

Mtazishika amri zangu. Usiwaache wanyama wako wa mfugo wakazaana kwa namna mbalimbali; usipande shamba lako mbegu za namna mbili pamoja; wala usivae mwilini mwako nguo ya namna mbili zilizochanganywa pamoja.