Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 2:3-5

1 Timotheo 2:3-5 SRUV

Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu; ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli. Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu