Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Rum 2:12-13

Rum 2:12-13 SUV

Kwa kuwa wote waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na wote waliokosa, wenye sheria, watahukumiwa kwa sheria. Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.

Soma Rum 2

Video ya Rum 2:12-13