Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 10:5-7

Warumi 10:5-7 NENO

Musa anaandika kuhusu haki ile itokanayo na sheria, kwamba, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.” Lakini ile haki itokanayo na imani husema hivi: “Usiseme moyoni mwako, ‘Ni nani atakayepanda mbinguni?’” (yaani ili kumleta Al-Masihi chini) “au ‘Ni nani atashuka kwenda Kuzimu?’” (yaani ili kumleta Al-Masihi kutoka kwa wafu).

Video ya Warumi 10:5-7