Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 25:11-13

Mathayo 25:11-13 NEN

“Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’ “Lakini yeye bwana arusi akawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’ “Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.