Walawi 7:35-36
Walawi 7:35-36 NEN
Hii ndiyo sehemu ya sadaka zilizotolewa kwa BWANA kwa moto, ambazo zilitengwa kwa ajili ya Haruni na wanawe siku ile walipowekwa wakfu ili kumtumikia BWANA katika kazi ya ukuhani. Siku ile walipopakwa mafuta, BWANA aliagiza kwamba Waisraeli wawape hili kama fungu lao la milele kwa vizazi vijavyo.


