Walawi 7:28-29
Walawi 7:28-29 NENO
BWANA akamwambia Musa, “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote aletaye sadaka ya amani kwa BWANA ataleta sehemu ya sadaka hiyo kama dhabihu yake kwa BWANA.
BWANA akamwambia Musa, “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote aletaye sadaka ya amani kwa BWANA ataleta sehemu ya sadaka hiyo kama dhabihu yake kwa BWANA.