Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Walawi 7:28-29

Walawi 7:28-29 NENO

BWANA akamwambia Musa, “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote aletaye sadaka ya amani kwa BWANA ataleta sehemu ya sadaka hiyo kama dhabihu yake kwa BWANA.