Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yona 1:1-3

Yona 1:1-3 NEN

Neno la BWANA lilimjia Yona mwana wa Amitai: “Nenda mji mkubwa wa Ninawi ukahubiri dhidi yake, kwa sababu uovu wake umefika kwangu.” Lakini Yona alimkimbia BWANA na kuelekea Tarshishi. Alishuka hadi Yafa, ambapo alikuta meli iliyokuwa imepangwa kuelekea bandari ile. Baada ya kulipa nauli, akapanda kwenye meli na kuelekea Tarshishi ili kumkimbia BWANA.