Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 51:38-39

Yeremia 51:38-39 NENO

Watu wake wote wananguruma kama simba wadogo, wanakoroma kama wana simba. Lakini wakiwa wameamshwa, nitawaandalia karamu na kuwafanya walewe, ili washangilie kwa kicheko, kisha walale milele na wasiamke,” asema BWANA.