Yeremia 51:17-18
Yeremia 51:17-18 NENO
“Kila mtu ni mjinga na hana maarifa; kila sonara ameaibishwa na sanamu zake. Vinyago vyake ni vya udanganyifu; havina pumzi. Ni ubatili tu, vitu vya kufanyia mzaha; wakati wa hukumu yao, wataangamia.
“Kila mtu ni mjinga na hana maarifa; kila sonara ameaibishwa na sanamu zake. Vinyago vyake ni vya udanganyifu; havina pumzi. Ni ubatili tu, vitu vya kufanyia mzaha; wakati wa hukumu yao, wataangamia.