Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 66:13-14

Isaya 66:13-14 NENO

Kama mama anavyomfariji mtoto wake, ndivyo nitakavyokufariji wewe, nawe utafarijiwa huko Yerusalemu.” Mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia, nanyi mtastawi kama majani; mkono wa BWANA utajulikana kwa watumishi wake, bali ghadhabu yake kali itaoneshwa kwa adui zake.

Picha za Aya za Isaya 66:13-14

Isaya 66:13-14 - Kama mama anavyomfariji mtoto wake,
ndivyo nitakavyokufariji wewe,
nawe utafarijiwa huko Yerusalemu.”

Mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia,
nanyi mtastawi kama majani;
mkono wa BWANA utajulikana kwa watumishi wake,
bali ghadhabu yake kali
itaoneshwa kwa adui zake.Isaya 66:13-14 - Kama mama anavyomfariji mtoto wake,
ndivyo nitakavyokufariji wewe,
nawe utafarijiwa huko Yerusalemu.”

Mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia,
nanyi mtastawi kama majani;
mkono wa BWANA utajulikana kwa watumishi wake,
bali ghadhabu yake kali
itaoneshwa kwa adui zake.