Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 15:24-25

1 Samweli 15:24-25 NENO

Ndipo Sauli akamwambia Samweli, “Nimetenda dhambi. Nimevunja amri ya BWANA na maagizo yako. Niliwaogopa watu na kwa hiyo nikafanya walivyotaka. Sasa ninakusihi usamehe dhambi yangu, nawe urudi pamoja nami, ili nipate kumwabudu BWANA.”