Soma Biblia Kila Siku 09/2020Sample

Mungu aliamuru Ezekieli kuwajulisha Yerusalemu juu ya uovu wao kuwa ni pamoja na uonevu uliomwaga damu za wanyonge, uongo, ukatili, ibada za sanamu na tamaa za mwili (m.6-12). Ndipo Mungu anatangaza adhabu au hukumu kwao (m.13-16). Ni vizuri kujadiliana na kuona kama uovu uliotendwa na Yerusalemu upo hata kwetu leo. Linganisha na yale tunayoyasikia kwenye vyombo vya habari leo; ubakaji, wizi, uuaji kwa imani za kishirikina, haya yote yatufanye kuona haja ya kuingia kwenye toba ya kweli.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Decide to Be Bold: A 10-Day Brave Coaches Journey

Hidden: A Devotional for Teen Girls

Does the Devil Know Your Name? A 10-Day Brave Coaches Journey

The Advent of HOPE and the Object of Our Faith.

Grace With a Taste of Cinnamon

A Christian Christmas

The Invitation of Christmas

How to Practice Gratitude in the Midst of Waiting by Wycliffe Bible Translators

Freedom in Christ
