Soma Biblia Kila Siku 09/2020Sample

Waisraeli waliishi katika mapokea ya baba zao ambayo yalikuwa kinyume na Neno la Mungu. Msiende katika amri za baba zenu, wala msizishike hukumu zao, wala msijitie unajisi kwa vinyago vyao(m.18). Watoto hao waliniasi; hawakuenda katika amri zangu (m.21). Kwa sababu hawakuzitekeleza hukumu zangu, bali walizikataa amri zangu, nao walizitia unajisi sabato zangu, na macho yao yaliandama vinyago vya baba zao (m.24). Hata siku hizi kuna madhehebu na huduma nyingi zinazohubiri na kufundisha neno la Mungu. Baadhi ya mafundisho yanatofautiana sana na Biblia. Kifungu hiki kinatufundisha kuwa Neno la Mungu lililo sahihi na lisilobadilika ni Biblia. Hivyo kila Mkristo awe na Biblia, na tujenge mazoea ya kujisomea na kutafakari yaliyomo ndani yake. Kisha tumruhusu Roho wa Mungu kusema nasi katika roho.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Decide to Be Bold: A 10-Day Brave Coaches Journey

Hidden: A Devotional for Teen Girls

Does the Devil Know Your Name? A 10-Day Brave Coaches Journey

The Advent of HOPE and the Object of Our Faith.

Grace With a Taste of Cinnamon

A Christian Christmas

The Invitation of Christmas

How to Practice Gratitude in the Midst of Waiting by Wycliffe Bible Translators

Freedom in Christ
