Soma Biblia Kila Siku 09/2020Sample

Wakati mwingine wazee wa Israeli walipokwenda kumwuliza Ezekieli maswali, Mungu alisema na Ezekieli kuwa asipoteze muda kuwajibu (m.3, Bwana MUNGU asema hivi; Je! Mmekuja kuniuliza neno? Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sitaulizwa neno na ninyi). Ila tu awasaidie kuondoa dhana mbaya waliyokuwa nayo juu ya Mungu. Kila wakati unapoulizwa swali juu ya imani yako, mwulize Mungu kama ni sawa kumjibu kila mtu swali analouliza. Maana Mungu aweza kukutaka kuwafanyia uinjilisti kwanza ili wamjue Mungu wetu. Wapo watu wanaotetea uovu na dhambi, wasikupotezee muda, waombee Mungu aseme nao.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Even in the Shadows: Living With Depression

Marry Me

Deep Roots, Steady Faith

The Invitation of Christmas

Real. Loved. Strengthened: 7 Days With God

Where Are You? A Theology of Suffering

Parenting Through God’s Lens: Seeing Your Child the Way God Does

The Father Lens: Helping Your Kids See Who God Is Through Who You Are

The Single Season
