Soma Biblia Kila Siku 09/2020Sample

Nabii Ezekieli anawaasa Waisraeli kuwa maisha ya duniani ni ya kitambo kidogo na baada ya hapo kuna uzima mwingine ambao, wote wanaojitambua kuwa ni wenye dhambi wakatubu wataendelea kuishi vema hata katika ulimwengu ujao. Bali wanaojisahau na kuendeleza uovu watapotea milele. Kwa ujumbe huu Mungu anataka watu wote tumalize safari yetu ya duniani vizuri. Maana heri kuwa na mwisho mzuri kuliko kuwa na mwanzo mzuri kisha mwisho mbaya. Maisha ya toba yanatupatia mwisho mzuri (m.31, Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya; mbona mnataka kufa, enyi nyumba ya Israeli?).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Even in the Shadows: Living With Depression

Marry Me

Deep Roots, Steady Faith

The Invitation of Christmas

Real. Loved. Strengthened: 7 Days With God

Where Are You? A Theology of Suffering

Parenting Through God’s Lens: Seeing Your Child the Way God Does

The Father Lens: Helping Your Kids See Who God Is Through Who You Are

The Single Season
