Soma Biblia Kila Siku 09/2020Sample

Israeli walimlalamikia Mungu kuwa anawaadhibu kwa dhambi ambazo walizifanya baba zao. Ndipo Mungu kupitia nabii Ezekieli anawakumbusha kuwa Mungu ni mwaminifu ambaye hawezi kumwadhibu mtu kwa sababu ya mtu mwingine, ila kila mtu anadhibiwa kutokana na uovu wake. Linapotokea jambo baya, mara nyingi watu hupenda kuwasingizia wengine ili wao waonekane kuwa safi. Kumbe neno hili linatutaka kila mmoja kujichunguza na kutubu dhambi yake binafsi kabla ya kuwatazama wengine.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Decide to Be Bold: A 10-Day Brave Coaches Journey

Hidden: A Devotional for Teen Girls

Does the Devil Know Your Name? A 10-Day Brave Coaches Journey

The Advent of HOPE and the Object of Our Faith.

Grace With a Taste of Cinnamon

A Christian Christmas

The Invitation of Christmas

How to Practice Gratitude in the Midst of Waiting by Wycliffe Bible Translators

Freedom in Christ
