Soma Biblia Kila Siku 09/2020Sample

Nabii Ezekieli anatumia mfano wa tai, tawi la mti (m.1-4) na tawi la mzabibu (m.7-8), kwa lengo la kufafanua dhambi ya udanganyifu aliyoifanya Sedekia dhidi ya Babeli (2 Fal 24:20, Sedekia akamwasi mfalme wa Babeli). Ni kitendo cha kuwategemea wanadamu badala ya kumtegemea Mungu katika vita. Hii ni dhambi ambayo baadhi ya wanadamu huitenda. Unapomwamini mtu kuliko Mungu ni kumkosea Mungu. Tunapowapenda watu zaidi kuliko kumpenda Mungu, pia tunakuwa tunamkosea Mungu. Siku zote Mungu awe namba moja.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Decide to Be Bold: A 10-Day Brave Coaches Journey

Hidden: A Devotional for Teen Girls

Does the Devil Know Your Name? A 10-Day Brave Coaches Journey

The Advent of HOPE and the Object of Our Faith.

Grace With a Taste of Cinnamon

A Christian Christmas

The Invitation of Christmas

How to Practice Gratitude in the Midst of Waiting by Wycliffe Bible Translators

Freedom in Christ
