Soma Biblia Kila Siku 10Sample

Basi, Roho wa Bwana ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa Bwana ikamsumbua(m.14). Maana yake nini? Angalia, neno halisemi kwamba Roho wa Bwana ni mbaya! Mungu ni nuru, wala giza lolote hamna ndani yake(1 Yoh 1:5). Basi tutaelewa vipi maneno haya: roho mbaya kutoka kwa Bwana ikamsumbua? Maana yake ni kwamba Bwana ni Mungu Mkuu. Mtu akiwa karibu na Mungu, nguvu za giza haziwezi kumdhuru. Lakini mtu akiachana na Mungu na ulinzi wake, Shetani hupata nafasi ya kumtesa akiruhusiwa na Mungu!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 10 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Warumi na 1 Samweli.
More
Related Plans

Finding Joy

Elijah: A Man Surrendered to God

And He Dwelt

The Layoff Test: Trusting God Through a Season of Unemployment

The Power of Biblical Meditation

Joyfully Expecting!

Between the Altar and the Father’s Embrace

Mom in the Word: One-Year Bible Plan (Volume 1)

God’s Word, Her Mission: Encouragement for Women Helping Build God’s Kingdom by Wycliffe Bible Translators
