Soma Biblia Kila Siku 10Sample

Katika m.20 Paulo ameeleza kuwa mtu akikutana na sheria ya Mungu anatambua zaidi dhambi zake na upotevu wake, kwa hiyo hata neema ya Mungu kwake inaonekana kubwa zaidi: "Kumbe! Neema ya Mungu ni kubwa namna hii kwamba hata mimi nimeweza kusamehewa na kuwa mtoto wake!" Ndipo Paulo anauliza swali ambalo limesikika hata Tanzania: Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi? (m.1). Jibu lake ni kuwa sisi tuliouona ubaya wa dhambi na kuupokea ukombozi kwa damu ya Yesu tutaendeleaje kuipenda dhambi? (m.2: Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi?).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 10 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Warumi na 1 Samweli.
More
Related Plans

When Your Child Fails: Turning Your Child’s Mistakes Into Moments of Grace and Growth

Always Performing? Even in Your Faith...

Ruins to Royalty

Audacious Faith: Standing Firm in the Fire

Raising Emotionally Resilient Children - Helping Your Child Handle Emotions, Failure, and Pressure With Faith and Strength

A Christian Christmas

Forecast & Focus

The Advent of HOPE and the Object of Our Faith.

LEADERSHIP WISDOM FROM the WILD
