Soma Biblia Kila Siku 10Sample

Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili; bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho (m.5). Hii ina maana ya kwamba ukitaka kuishinda dhambi katika maisha yako ya Kikristo kwa nguvu zako mwenyewe (waufuatao mwili), utakwama, na utabaki tu kutamani dhambi (huyafikiria mambo ya mwili). Lakiniukimtegemea Kristo na kuufikiria ukombozi aliokushindia (waifuatao roho), maisha yako yatakuwa na matunda mema (huyafikiri mambo ya roho). Zingatia kwa makini Yesu anayosema: Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lo lote(Yn 15:5). Matunda hayo tunayozaa tunapokaa ndani ya Yesu, ni kazi ya Roho anayekaa ndani yetu. Kwa hiyo huitwa tuna la Roho: Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria(Gal 5:22-23).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 10 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Warumi na 1 Samweli.
More
Related Plans

Finding Joy

Elijah: A Man Surrendered to God

And He Dwelt

The Layoff Test: Trusting God Through a Season of Unemployment

The Power of Biblical Meditation

Joyfully Expecting!

Between the Altar and the Father’s Embrace

Mom in the Word: One-Year Bible Plan (Volume 1)

God’s Word, Her Mission: Encouragement for Women Helping Build God’s Kingdom by Wycliffe Bible Translators
