Soma Biblia Kila Siku 10Sample

Kufanikiwa kuna hatari, nayo ni kiburi! Tazama m.6 ambapo Mwimba Zaburi anasema kama mpumbavu:Nilipofanikiwa nalisema, Sitaondoshwa milele(ling. Zab 10:6 ambapo mtu anasema vivyo hivyo:Sitaondoshwa, kizazi baada ya kizazi sitakuwamo taabuni). Kwa hiyo akapatwa na hasira ya Mungu, akataka kufa. Lakini akagundua kuwa hasira ya Mungu kwa watu wake ni ya kitambo, yaani, inadumu mpaka tuombe radhi kwake:Ghadhabu zake ni za kitambo kidogo, katika radhi yake mna uhai(m.5). Je, unajua kuwa tunaishi kwa sababu Mungu anatulinda na kutuepusha na kifo? Au kwamba kama tukifanikiwa na kuinuliwa katika maisha, ni kwa sababu ya wema wa Mungu? Tumshukuru Mungu kwa mema mengi tupatayo maishani ili tusijivune na kufa!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 10 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Warumi na 1 Samweli.
More
Related Plans

Finding Joy

Elijah: A Man Surrendered to God

And He Dwelt

The Layoff Test: Trusting God Through a Season of Unemployment

The Power of Biblical Meditation

Joyfully Expecting!

Between the Altar and the Father’s Embrace

Mom in the Word: One-Year Bible Plan (Volume 1)

God’s Word, Her Mission: Encouragement for Women Helping Build God’s Kingdom by Wycliffe Bible Translators
