Mattayo MT. 6:16-18
Mattayo MT. 6:16-18 SWZZB1921
Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana: maana hujiumbua nyuso zao, illi waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambieni, wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe nso; illi usionekane na watu kuwa unafunga, bali na Baba yako aliye kwa siri; na Baba yako, aonae kwa siri, atakujazi kwa dhahiri.


![[SÉRIE] Uma Casa Edificada Sobre a Rocha - Parte 2: Alicerce Sólido [FÉ] Mattayo MT. 6:16-18 New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F21090%2F1440x810.jpg&w=3840&q=75)
![[SÉRIE] Uma Casa Edificada Sobre a Rocha - Parte 3: Acabamento Perfeito [ORAÇÃO E JEJUM] Mattayo MT. 6:16-18 New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F21383%2F1440x810.jpg&w=3840&q=75)

