Logotipo da YouVersion
Ícone de Pesquisa

Mwanzo 20:6-7

Mwanzo 20:6-7 SCLDC10

Basi, Mungu akamwambia katika hiyo ndoto, “Sawa. Najua kwamba umefanya hivyo kwa moyo mnyofu, na mimi ndiye niliyekuzuia kutenda dhambi dhidi yangu; ndiyo maana sikukuruhusu umguse huyo mwanamke. Sasa mrudishe huyo mwanamke kwa mume wake. Abrahamu ni nabii, naye atakuombea nawe utaishi. Lakini usipomrudisha, ujue kwa hakika kwamba wewe utakufa pamoja na watu wako wote.”

Ler Mwanzo 20

Vídeo para Mwanzo 20:6-7

Planos de Leitura e Devocionais gratuitos relacionados a Mwanzo 20:6-7