1
Mathayo 25:40
Biblia Habari Njema
BHN
Mfalme atawajibu, ‘Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.’
Compare
Mathayo 25:40ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Mathayo 25:21
Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.’
Mathayo 25:21ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Mathayo 25:29
Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
Mathayo 25:29ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Mathayo 25:13
Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
Mathayo 25:13ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Mathayo 25:35
Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha
Mathayo 25:35ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Mathayo 25:23
Mathayo 25:23ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
7
Mathayo 25:36
nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.’
Mathayo 25:36ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ