1
Mathayo 3:8
Biblia Habari Njema
BHND
Onesheni kwa vitendo kwamba mmetubu.
Compare
Mathayo 3:8ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Mathayo 3:17
Sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ndiye Mwanangu mpendwa, nimependezwa naye.”
Mathayo 3:17ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Mathayo 3:16
Mara tu Yesu alipokwisha batizwa, alitoka majini; na kumbe mbingu zikafunguka, akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake.
Mathayo 3:16ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Mathayo 3:11
Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonesha mmetubu. Lakini anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili hata kubeba viatu vyake. Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Mathayo 3:11ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
5
Mathayo 3:10
Basi, shoka liko tayari kwenye mizizi ya miti; hivyo, kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.
Mathayo 3:10ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
6
Mathayo 3:3
Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema: “Sauti ya mtu anaita jangwani: ‘Mtayarishieni Bwana njia yake, nyosheni barabara zake.’”
Mathayo 3:3ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ