1
Marko MT. 3:35
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa maana mtu ye yote atakaeyafanya mapenzi ya Mungu, huyu ndive ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.
Compare
Marko MT. 3:35ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
2
Marko MT. 3:28-29
Amin, nawaambieni, Dbambi zote watasamehewa wana Adamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakaemkufuru Roho Mtakatifu hana masamaha hatta milele; bali atakuwa ana dhambi ya milele
Marko MT. 3:28-29ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
3
Marko MT. 3:24-25
Na ufalme nkilitinika juu ya nafsi yake ufalme ule hauwezi kusimama; na nyumba ikifitinika juu ya nafsi yake, nyumba ile haiwezi kusimama.
Marko MT. 3:24-25ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
4
Marko MT. 3:11
Na pepo wachafu, killa walipomwona, wahanguka mbele yake, wakalia wakinena, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.
Marko MT. 3:11ਪੜਚੋਲ ਕਰੋ
Home
ਬਾਈਬਲ
Plans
ਵੀਡੀਓ