1
Ufunuo 1:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Bwana Mungu Mwenye Uwezo anasema: “Mimi ni Alfa na Omega.” Ni yeye anayekuwa, aliyekuwa na anayekuja.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Ufunuo 1:8
2
Ufunuo 1:18
Mimi ni mwenye uzima. Nilikuwa nimekufa, lakini sasa mimi niko muzima kwa milele na milele. Niko na mamlaka juu ya lufu na kuzimu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Ufunuo 1:18
3
Ufunuo 1:3
Heri yule anayesoma na wale wanaosikia maneno hayo ya unabii na kushika yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki, kwa maana wakati wa kutimia kwa mambo haya unakaribia.
अन्वेषण गर्नुहोस् Ufunuo 1:3
4
Ufunuo 1:17
Wakati nilipomwona, nikaanguka chini kwa rafla mbele yake kama vile mufu. Lakini akaweka mukono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.
अन्वेषण गर्नुहोस् Ufunuo 1:17
5
Ufunuo 1:7
Angalia, yeye anakuja katikati ya mawingu! Kila mutu atamwona, hata wale waliomutoboa kwa mukuki. Na kwa sababu yake mataifa yote ya dunia yatalalamika kwa huzuni. Hakika ni vile! Amina.
अन्वेषण गर्नुहोस् Ufunuo 1:7