1
Matayo 27:46
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ilipokuwa karibu saa tisa, Yesu akalalamika akisema: “Eli, Eli, lama sabaktani,” maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 27:46
2
Matayo 27:51-52
Na saa ile ile pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini. Inchi ikatetemeka, mawe makubwa yakapasuka, makaburi yakafunguka, na watakatifu wengi waliokufa zamani wakafufuliwa.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 27:51-52
3
Matayo 27:50
Lakini Yesu, akalalamika tena kwa sauti kubwa na kukata roho.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 27:50
4
Matayo 27:54
Mukubwa wa waaskari na wale waliokuwa pamoja naye wakimuchunga Yesu walipoona tetemeko la inchi na mambo yote yaliyofanyika, wakaogopa sana, na kusema: “Hakika mutu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 27:54
5
Matayo 27:45
Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 27:45
6
Matayo 27:22-23
Pilato akawauliza tena: “Basi munataka nifanye nini na huyu Yesu anayeitwa Kristo?” Nao wote wakajibu: “Atundikwe juu ya musalaba!” Pilato akawauliza tena: “Yeye alifanya ubaya gani?” Lakini wakazidi kupiga kelele wakisema: “Atundikwe juu ya musalaba!”
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 27:22-23
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू