1
Malaki 2:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Ninachukia kuachana. Ninachukia wakati mumoja wenu anapomutendea muke wake ubaya ule. Muhakikishe kwamba hakuna hata mumoja wenu anayekosa uaminifu kwa muke wake.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Malaki 2:16
2
Malaki 2:15
Mungu hakuwafanya ninyi wote wawili mukuwe mwili mumoja na roho moja? Alikusudia nini alipofanya hayo? Tuzae watoto wanaomupendeza Mungu. Kwa hiyo, muchunge uzima wenu na kuhakikisha kwamba hakuna hata mumoja wenu anayekosa uaminifu kwa muke wake.
अन्वेषण गर्नुहोस् Malaki 2:15
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू